Ticker

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

NORWAY: TANGAZO LA MSIBA

Selyan Samson Ene Sabore

Mtanzania mwenzetu; Selyan Samson Ene Sabore (wa Tøyen, Oslo) amefariki leo jioni nchini Finland alikokuwa kwenye mapumziko na marafiki zake. Selyan alikuwa mazoezini akaanguka na kuzimia kufa (comma) Jumamosi 17 Novemba. Bahati mbaya hakuamka na leo Mwenyezi Mungu ameichukua roho yake. Tunazidi kuwajulisha mipango inavyoendelea. Mwenyezi Mungu Amweke Pema...Ameen!

Post a Comment

0 Comments