Ticker

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Katibu Mkuu akanusha habari potoshi kuhusu Balozi zetu Nje

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John M. Haule (katikati), akikanusha na kurekebisha taarifa potoshi zilizoandikwa katika baadhi ya magazeti kuhusu Mabalozi na watumishi wake nje ya nchi.  Pichani ni Bw. Lupakisyo Mwakitalima (Kulia), Mhasibu Mkuu Wizarani na Bw. Assah Mwambene (kushoto), Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Post a Comment

0 Comments