Ticker

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Rais Jakaya Kikwete na Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi Waongoza Mamia Ya Waombolezaji Kuswalia Mwili wa Marehemu Afisa Ubalozi wa Tanzania Nchini Abu Dhabi, UAE Azizi Sheween

Rais Jakaya Kikwete na Rais Mstaafu alhaj Ali Hassan Mwinyi na waombolezaji wakiswalia mwili wa Marehemu Azizi Sheween  Afisa Ubalozi wa Tanzania huko Abu Dhabi, UAE,ambako alifariki dunia mwisho wa mwezi uiopita na mwii wake umeletwa leo Janaury 6, 2012 kutoka huko, umeagwa rasmi na kusafirishwa kuelekea nyumbani kwake Moshi kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika kesho.

Post a Comment

0 Comments