Ticker

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Katibu Mkuu Apokea Msaada Kutoka kwa Watanzania waishio Zambia

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John M. Haule, akipokea msaada wa fedha kiasi cha Sh. 1,118,600.00/- kutoka kwa Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Zambia, Bibi Justa Nyange, kwa ajili ya waathirika wa ajali ya Meli ya MV Spice iliyotokea Zanzibar mwezi Septemba, 2011. Msaada huo umetolewa na Watanzania wanaoishi nchini Zambia.  FOREIGN AFFAIRS

Post a Comment

0 Comments